Breaking News
recent

MZEE MAJUTO: MAISHA YANGU NI OMEDY TOSHA..

Mchekeshaji  wa  muda  mrefu  Amri  Athuman  ‘Mzee  Majuto’  ametoa  kali  ya  mwaka  baada  ya  kusema  kuwa  maisha  yake  ni  komedi  tosha  kutokana  na  kumvunja  mtu  mbavu bila  kujali  yuko  mahala  gani….
 
Akizungumza  na  mwandishi  wetu, Mzee  Majuto alisema  yeye  hutoa  shoo  muda  wowote  bure   bila  kujali  yuko  katika  wakati  gani   kwani  maisha  yake  ni  komedi  tupu…
 
“Maisha  yangu  ni  komedi  tosha,siwezi  kuacha  kuchekesha.Wakati  mwingine  si  kwa  kupenda  bali  huwa  najikuta  tu  nimefanya  hivyo ,  inabidi  watu  wanizoee  tu….
KingMajuto
 
“Huwa  sina  nia  ya  moja  kwa  moja  kuchekesha  watu, lakini  kumbe  kauli  zangu  huwavunja  mbavu.Sijisikii  vibaya  kwa  hilo, najivunia  kuendelea  kuwa  msanii  ninayekubalika  hadi  umri  huu,”  alisema  mzee  Majuto
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.