Breaking News
recent

MANCHESTER UNITED KUMKOSA THOMAS MULLER....

Shabaha ya klabu ya Manchester United kumtia mikononi kiungo matata wa klabu ya Beyern Munich, Thomas Muller, umeingia dosali  baada ya mchezaji huyo kusaini mkataba wa kuendelea kuitumikia timu yake hadi mwaka 2019.
Mkataba huo wa Muller umetibua kabisa mpango na uchu wa kocha wa Man U, Van Gaal wa kumnasa kiungo huyo.
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.