Breaking News
recent

KIJANA ANASWA AKIMLAWITI MTOTO WA MIAKA 12 LEO....

Kijana mmoja aitwaye Ridhiwani, mkazi wa PPF Njiro(Umri wake haujatajwa, lakini anaonesha kuwa na umri wa zaidi ya miaka 16) anaswa akimlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 12 katika maeneo ya PPF Njiro.

Kitendo hicho kiliwapandisha  hasira wafakazi wa eneo hilo hadi kufikia hatua ya kutaka kumuua kabisa

Hili tukio limetokea tarehe ya leo hasubuhi na mapema, na kijana huyo ameshatiwa nguvuni na vyombo vya dola hili sheria kushika mkondo wake.

Tazama picha zinazoelezea mkasa wote hapa chini


Ridhiwani  akiwa ashapigwa pingu kwa ajili ya kufikishwa kwenye vyombo vya kisheria na hivyo sheria kushika mkondo wake.


Huyu ndiye mtoto ambaye amelawitiwa  na Ridhiwani








 Mashuhuda wakiwa wanamshangaa kijana huyo aliyebaka!




Ni lazima tujiulize maswali kadhaa juu ya vitendo hivi vya kikatili vinavyofanywa na watu wa rika zote:


Je, ni nani anayetakiwa kuaminikaa katika jamii yetu kwa sasa?

Je, watanzania tunakwenda wapi jamani?

Je,  jamii yetu inatakiwa kuanza kuwalinda wasichana na wavulana WASIBAKWE?

Je, kama haya tunayapata mpaka kwenye vyombo vya habari, vipi kuhusu hayo ambayo hatuyaoni?
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.