Breaking News
recent

BAADA YA P SQUARE KUFANYA KOLABO NA AKON, RICK ROSS, HUYU NDIYE ANAYEFUATA, PICHA WAKIFANYA NAE VIDEO HUKO MAREKANI...

Screen Shot 2014-06-26 at 11.49.29 PMWalianza kuchukua headlines za kolabo za kimataifa baada ya kushirikiana na Akon pamoja na Rick Ross ila time hii anaefata ni trouble man T.I wa Marekani.

Wakiwa wanaifanyia kazi album yao ya sita, P Square kutoka Nigeria hawajazungumza maneno ya ziada baada ya kuthibitisha kwamba wamemshirikisha rapper T.I kwenye moja ya nyimbo za hiyo album.
Hizi picha ni wakati wanafanya video ya kolabo yenyewe nchini Marekani.
Screen Shot 2014-06-26 at 11.49.39 PM
Screen Shot 2014-06-26 at 11.49.49 PM
Screen Shot 2014-06-26 at 11.49.20 PM
Screen Shot 2014-06-26 at 11.49.04 PM
Screen Shot 2014-06-26 at 11.50.01 PM

Screen Shot 2014-06-26 at 11.50.21 PM

Screen Shot 2014-06-26 at 11.50.12 PM
Screen Shot 2014-06-26 at 11.51.09 PM
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.