Breaking News
recent

MJUE MDADA ALIYESABABISHA TEAM WEMA KUANZA KUGOMBANA WENYEWE KWA WENYEWE, HAHAHAHAH


http://www.bongoclantz.com/Ukisikia majanga majanga kweli, huko Insta kimenuka team Wema Sepetu wanagombana wenyewe kwa wenyewe. Katika team Wema zote akaunti yenye wafuasi wengi ni ya WemaDaily. yenye wafuasi zaidi ya elfu 22.

Sasa inadaiwa kua mdada anayeendesha akaunti hiyo ndo chanzo cha kuwagombanisha Wema na Kajala na mara tu walipogombana akaacha kupost picha katika akaunti hiyo. Na mbaya zaidi akawa upande wa Kajala badala ya kuwa upande wa Wema.

Wengi wanamlaumu kua kwa zaidi ya kipindi cha mwezi sasa alikua kimya hapost kitu chochote na akipost ni mara moja moja tu ndo anapost. Ssoma watu walichokisema hapa
http://www.bongoclantz.com/

eunice87n Mnafiki yule hampendi wema anampenda kajala tu! cku zote alikuwa wp leo wamepataniahwa anajileta.
salha_cute Kuna wa2 wanajiita team wema hlf umbea uzush n unafq moto. M2 wa hvyo 2nampa ukwel anapokosea. Mm cjapendezwa n wemadaily kwakwel. Anaonesha ni mnafki tena live bila chenga #mfyuuuuu

mckichefuchefu Yule @wemadaily ni mnafkiiii kioindi cha ugomvi wa kajala na @wemasepetu alikuwa kimya apost pic na weka ana pic mpya nyingi tu matukio kibao mazuri mazuri hakupost alikuwa akipost ni tbt za k na wema na ile acct niya jina la wema mpk kuna ck alipost chat za zamani alizo chat na k na wema na ni za zamani sana akapunguza speed ya kupost pic za wema kabisa na sio kawaida yake eti kaona udaku wa gazeti wema na kajala wamepatana yy ndio kuli post nakuanza kupost pic za zamani za k na wema tukajua atakuja na ujio mpya kumbe ushuzi je sikuzote alikuwa wapi na kunasiku nilimuona anamuomba munamindu namba ya kajala sasa si mnafkiii alafu anaturushia vijembe sisi km anampenda wema anatuwekea udaku wa nn ss na post za udaku wa magazeti eti wema aunty sijui wameongelewa bungeni wasivae nguo fupi yani ni shudu kibao aada ya kumwambia kistarabu anajibu kunya then ana anza kutu postia vijembe kuma makee tunampiga mtungooo km aliibiwa cm mbona alikuwa anapata muda wakupost tbt za k na wema eti leo anajisafisha alikuwa hana cm y asiwambia mashabiki wa wema toka kitambo iweje bada ya kuambiwa mnafki ndio anasema ilo yule ni mnafkiii nakumbuka tulimwambiaga wema kuwa kajala ni mnafki alimtetea na kutuona waongo ila alikuja kujionea mwenyewe yule ni mnafki na ni bora wachawi 99 kuliko mnafki 1 am done

bintiandengenye @wemareplies nikwambie tu team wema tulio WAZALENDO wote tunajuana sasa hao wanafiki wacha tumalizane nao maninaa zao nasema kila mnafikiii anayetumia mgongo wa team wema tutamuumbua sivyo afunge account au aitoe kwa team wema wazalendo

newsanta8butterfly Wemadaily kakosea n anazd kukosea kwa kujifanya anadharau anajibu nyodo kilichobak tumsamehe n Aache unafk tumetoka naye mbali nazan team wema mlokuwepo toka ktambo mnajua mtoto akinyea mkono haukatw jmn huoshwa il a mdashost punguza jeur peace n luv tusiwape with faida

ksal @onlymeruky yaan in addition to that @wemadaily anatabia ya kujib watu nyodo akat anatumia jina la wema bila kujal kwa nyodo zake anaweza kumharibia @wemasepetu m nakumbuka kuna siku alikuwa anawajibu watu vibaya just bkoz kaulizwa application anayotumia kuedit pcha in short huyu binti tumechoka dharau af anasahau jina la wema ndo limempa kick
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.