Breaking News
recent

SELENA GOMES AKIWA AIRPORT YA LOS ANGELS AKITOKEA KUPIGA SHOPPING

 
Huyu ni Selena Gomez aliyekuwa mpenzi wa Justine Bieber jana (may13) alivyoshuka kwenye uwanja wa ndege LAX los angels alikuwa amevaa Rocking black skinnies and a leather jacket, wiki iliyopita Selena mwenye umri wa miaka 21 alikuwa mapumzikoni huko  Dominican Republic na alikuwa akifanya shopping ya maana.
 
Pia selena amejifunza kupika chakula cha asili
 
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.