"Leo hii inasikitisha sana ninapoona beki kama huyu anayejitoa kwa nguvu zake zote kuondoka katika club hiyo" alisema shabiki 1 wa manchester united
Kwaheri nemanja vidic, huko uwendako tunakutakia kila la heri, ukajitume kama ulivyokuwa unajituma ukiwa na machester united...
No comments:
Post a Comment