Breaking News
recent

KIM KARDASHIAN & KANYE WEST WAMEPANGA KUFUNGA NDOA FLORENCE, ITALY


 
  Kim Kardashian na Kanye West wapepanga kufunga ndoa Forte di Belvedere in Florence, Italy. Kwa maelezo ya kijana 1, alisema Kanye na Kim walikuwa wakionekana sana maeneo ya town walikutana na Ermanno Scervino kwenye  Italian designer’s atelier. Inasemekana moja au zote za nguo zao zitavaliwa siku ya harusi yao. Vyombo vya habari vya Italia wamesema Kardashian-West wedding itafanyika Belevedere na wana ndoa hao inasemekana wametumia zaidi ya 300,000 euros kununua vitu vyote weekend ijao tarehe 24.


 
 
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.