Breaking News
recent

RICHEST AFRICAN PRESIDENTS 2014: ORODHA YA MARAIS 9 MATAJIRI ZAIDI WA AFRIKA....

Mtandao wa Richestlifestyle.com umetoa orodha yake ya Marais na Wafalme 9 matajiri zaidi wa kiafrica 2014 (Richest African Presidents 2014). Anayeongoza kwenye nafasi ya kwanza ni Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos mwenye utajiri unaofikia $20 Billion.
Richest-African-Presidents-RichestLifestyle.com_
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ndiye Rais pekee wa Afrika mashariki kwenye orodha hiyo akiwa kwenye nafasi ya nne kwa utajiri unaofikia $500 Million.
Tazama orodha kamili:
9) Robert Mugabe – Net Worth: $10 Million

Country: Zimbabwe, Years in Power: 26
8) Idriss Deby – Net Worth: $50 Million

Country: Chad, Years in Power: 23
6) King Mswati III – Net Worth: $100 Million (tie with president Jonathan)

Country: Swaziland, Years in Power: 28
5) Paul Biya – Net Worth: $200 Million Country: Cameroon, Years in Power: 31
4) Uhuru Kenyatta – Net Worth: $500 Million

Country: Kenya, Years in Power: 1
3) Teodoro Obiang Nguema Mbasogo – $600 Million

Country: Equatorial Guinea, Years in Power: 34
2) Mohammed VI of Morocco – Net Worth: $2.5 Billion

Country: Morocco, Years in Power: 15
1) Jose Eduardo dos Santos – Net Worth: $20 Billion

Country: Angola, Years in Power: 34

Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.