Staa huyo pia atatakiwa kukaa umbali wa yadi 100 kutoka kwa familia hiyo huku akiwa chini ya uangalizi kwa muda wa miaka miwili.

Bieber alinaswa na jirani yake akirusha mayai katika nyumba yake mwezi Januari na hukumu yake imetoewa jana huko Los Angeles na kuhudhuriwa na mwanasheria wake, Shawn Holley.
No comments:
Post a Comment