Kwa goli hilo moja sasa amefikisha jumla ya mabao 14 katika msimu huu wa ligi ya mabingwa wa ulaya, hivyo amemfikia Messi aliyeweka rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi katika msimu mmoja wa ligi ya mabingwa wa ulaya msimu wa 2011/12 – magoli 14.
CHRISTIANO RONARDO AFIKIA REKODI HII YA LIONEL MESSI KATIKA LIGI YA MABINGWA ULAYA (CHAMPIONS LEAGUE)
Kwa goli hilo moja sasa amefikisha jumla ya mabao 14 katika msimu huu wa ligi ya mabingwa wa ulaya, hivyo amemfikia Messi aliyeweka rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi katika msimu mmoja wa ligi ya mabingwa wa ulaya msimu wa 2011/12 – magoli 14.
No comments:
Post a Comment