Breaking News
recent

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 HAYA HAPA.....

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III.
Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825
- Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54
- Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.

- SHULE 10 ZILIZOONGOZA

1. Igowole 

2. Feza Boys 
3. Kisimiri 
4. Iwawa 
5. Kibaha 
6. Marian Girls 
7. Nangwa 
8. Uwata
9. Kibondo
10. Kawawa

- SHULE 10 ZA MWISHO

1. Ben Bella

2. Fidel Castro 
3. Tambaza
4. Muheza High School 
5. Mazizini
6. Mtwara Technical 
7. Iyunga technical 
8. Al- falaah Muslim
9. Kaulia
10. Osward Mang'ombe
KUYAONA MATOKEO INGIA HAPA
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.