Breaking News
recent

JE?? JOHN CENA ATAWEZA KUITETEA MIKANDA YAKE NA KURUDI NAYO KWENYE MECHI YA BATTLEGROUND...

Mkanda wa Wwe World Heavyweight Championship kugombaniwa kwa na miamba minne katika pambano la BATTLEGROUND siku ya tarehe 20 mwezi wa saba mwaka huu 2014 huko marekani.
Pambano hilo ambalo litakutanisha mwamba kama Kane{The red monster},Roman Reigns{The upcoming superstar},Randy Orton{The viper} pamoja na bingwa wa WWE John Cena,limeanza kuteka hisia za mashabiki wa mchezo wa mieleka kote duniani kwani unaonekana ni mchezo mgumu kuliko ule wa kwanza uliokutanisha watu nane mwezi uliopita.


John Cena anapewa nafasi kubwa ya kubaki na mikanda yake kwani aliwashinda kwa haki wachezaji hao wakiwa nane,lakini nafasi amepewa Randy Orton kutokana na mazoea ya mechi kama hizo na pia hutumia akili nyingi kuliko nguvu zaidi.

Cena aliyechukua mkanda huo mwezi uliopita katika pambano la MONEY IN THE BANK na kuwashinda wapiganaji wengine kama Randy Orton,Kane,Roman Reigns,Antonio Cessaro,Sheamus,

Alberto Del Rio pamoja na Bray Wyatt.Lets wait and see who will be the winner at BATTLEGROUND  on 20 july 2014,Itakuwa Kane,Randy Orton,Roman Reigns ama John Cena atarudi na mikanda yake?

Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.