Breaking News
recent

NEY AKANUSHA ALICHOKIANDIKA CHIDI BENZ KUWA ALIFANYIWA FUJO KWENYE SHOW MBAGALA



"aaa ukweli ni kwamba sijui anachokitengeneza yeye, mimi ndio nimefunga show mbagala, hakuna kitu kama hicho kilichotokea,unajua mi nilikua nimerusha flana niliyokuwa nimevaa, watu walikuwa hataki niimbe nikiwa na flana, so baada ya kuirusha ile flana ndio watu wakaanza kusukumana huku na kule, umati ulikuwa mkubwa, aah ikabidi wakadondokea ile mashine ambayo ilikua inapiga mziki pale, nafkiri show ndio ikaishia pale.na nimeondoka pale nikisindikizwa na umati wa watu mia mbili au mia tatu, mi nilikua kwenye boda boda wamenisindika mpaka ndani Dar Live.
Chidi amendika kitu kama hicho so sijui anataka kunitengenezea CV gani, lakini hakuna kitu kama hicho kwanini, mimi ndio nimefunga show, walikuwa wanasubiri show yangu mimi, kila mtu alikua anataka kuongea na mimi hata kunigusa tu, kila mtu alikua anataka kuongea na mimi, hata kunigusa tu...."

Chidi ajipange amechezea bahati alipata line nzuri kafanya mambo ya ajabu, mwisho wa siku amepotea, anahisi na mimi naweza nikapotea kama yeye, mi najua nafanya nini, mi mtoto wa kihuni ambae nimetokea mbali, nimepitia mengi, sijatengenezwa kama yeye alivyotengenezwa, nimefight mpaka leo mashabiki wananielewa.
Hiki ndicho alichokuwa amekiandika Chidi kwenye ukurasa wake wa facebook

Híki ndicho kilichomponza Ney wa Mitego jioni katika show yake ya Mbagala Zakhen ni; Aliposema Chid Benz katoboa pua au c ridhiki? Na wavuta sigara wote ni Matahira.Hapo ndipo raia fans wa Chid benz na Wavuta fegi wakalianzisha.Palikuwa hapatosh amesepa hana viat na watu wameumia na kuibiwa...!!!!!!!! unaweza kushea hii habari pia kwa matukio unaweza uka like new blog hii hapa

Unknown

Unknown

1 comment:

Unknown said...

aibuuuuuu duhhh!!

Powered by Blogger.