Breaking News
recent

UPEPO WAKWAMISHA UOKOAJI WA MELI ILIYOZAMA, (PICHA)

Meli ya uokoaji

Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300 ambao wamekwama ndani ya

ferry moja ya Italia iliyokuwa imeshika moto kwenye bahari ya Adriatic.

Maofisa nchini Italia wanasema kuwa oparesheni ya uokoaji itandelea.Hadi sasa watu 190 wamekolewa kutoka kwa ferry hiyo.

Chanzo: BBC
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.