Breaking News
recent

CHRISTIANO RONARDO AFIKIA REKODI HII YA LIONEL MESSI KATIKA LIGI YA MABINGWA ULAYA (CHAMPIONS LEAGUE)

1962860_10152120836564821_657408111_nCristiano Ronaldo jana alicheza mechi yake ya 100 ya ligi ya mabingwa wa ulaya wakati Real Madrid walipoifunga Borussia Dortmund 3-0.
Katika mechi hiyo Ronaldo alifunga goli la 3 la mchezo huo baada ya Bale na Isco kufunga la kwanza na lapili.
Kwa goli hilo moja sasa amefikisha jumla ya mabao 14 katika msimu huu wa ligi ya mabingwa wa ulaya, hivyo amemfikia Messi aliyeweka rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi katika msimu mmoja wa ligi ya mabingwa wa ulaya msimu wa 2011/12 – magoli 14.
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.