Breaking News
recent

Young Killer afanya collable na msanii wa hip hop mwenye miaka 11




Msanii anaeiwakilisha Mwanza, kutoka Super Nyota 2012, "Young Killer" amefanya collable na msanii mdogo wa hip hop (11) anaeiwakilisha Mwanza pia "Dogo D"

Collable hiyo waliyoipa jina la "Bora tu nipate Bora tu nipate maadui" inategemewa kutoka wiki ijayo.
Dogo D ni msanii wa hip hop ambae licha ya kuwa na umri mdogo kiasi hicho ameshafanya collable na Roma (haijatoka) na tayari ana single ambayo inafanya vizuri pande za Mwanza "Mungu Nipe" feat Abuu Mkali.
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.