Breaking News
recent

HII NDO KLABU YA KIFAHARI KULIKO YOTE EAST AFRICA ILIYOKO KAMPALA INAYOMILIKIWA NA JAY Z

The Insider ya Uganda imeripoti exclusively kuwa Club ya 40/40 iliyoko New York, Marekani inayomilikiwa na mfanyabiashara na rapper Shawn Corey Carter aka Jay Z, imefungua tawi jijini Kampala, Uganda.
Tawi hilo 40/40 club ya Kampala ambalo linadaiwa kuwa
ndio la kwanza kwa Afrika nzima limefunguliwa rasmi Ijumaa iliyopita September 26.


40/40 ya Kampala kwa ndani
Taarifa hiyo imeongeza kuwa club hiyo ina mpango wa kufungua matawi mengine Afrika Mashariki.


40/40 ya New York
Source: THEINSIDER.UG
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.