Breaking News
recent

MWILI WA MAREHEMU MAMA ZITTO KABWE UKISAFIRISHWA KWENDA KIGOMA

Bi Shida ambae ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe alifariki dunia hospitali Dar es salaam June 1 2014 alikokua amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU)
Screen Shot 2014-06-02 at 3.02.36 AM
Zitto kabwe akiwa na Profesa Ibrahimu Lipumba pamoja na watu wengine wakati wa kuuaga mwili wa mama Zitto aliyefariki June 1 2014.
Screen Shot 2014-06-02 at 3.09.02 AM
Profesa Ibrahimu Lipumba akijadili jambo mwili kupakiwa kwenda Kigoma.
Screen Shot 2014-06-02 at 3.09.58 AM
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.