Breaking News
recent

SOMA HII MPYA KUTOKA: THE SUPER ADMIN COMPUTER LAB


The Super Admin Computer Lab


Ni kituo kinachotoa mafunzo mbalimbali ya Computer ambacho kilichojikita zaidi kwenye vitendo, kituo kilianzishwa rasmi mnamo 01/03/2017, kituo kinapatikana Buguruni Malapa (Kichwele Hostel Ground Floor).




LENGO KUU LA KITUO (TSACL)
Kuhakikisha kila mmoja wetu katika Karne hii ya Sayansi na Teknolojia anafaidika na anakuwa na uwezo binafsi wa kukabiliana na changamoto mbalimbali zitokanazo na Utandawazi katika na nafasi aliyonayo.



 
MATARAJIO YA KITUO
Kituo kina matarajio ya kutoa Mafunzo kwa Ufanisi wa hali ya juu na kwa Gharama nafuu mno ili kulifikia lengo lake kuu (Fursa ni ya kila Mmoja).

 KOZI ZITOLEWAZO


COMPUTER APPLICATIONS:
MS Word.
MS Excel.
 MS Power Point.
MS Access.

GRAPHICS DESIGNING:
 MS Publisher.
Adobe Photoshop.
Adobe In Design.
Adobe Illustrator.
 Adobe Premiere.
Adobe Acrobat.

E-MAIL AND INTERNET:
 
TECHNICAL COURSES:
NETWORKING.
PROGRAMMING.
DATABASE.
COMPUTER SYSTEM.



RATIBA YETU
Kituo kipo wazi siku zote za wiki Jumatatu - Jumapili, kuanzia saa mbili kamili  asubuhi mpaka saa mbili kamili usiku.



 
JINSI YA KUJIUNGA NA KITUO (TSACL)

Fomu za kujiunga na Kituo zinapatikana kituoni (Buguruni Malapa) kwa gharama ya Shilingi 5,000/= tu.




MAELEZO ZAIDI
Ili kupata maelezo zaidi unakaribishwa kituoni kwetu Buguruni Malapa. (Kichwele Hostel Ground Floor).

Au Wasiliana nasi Kwa:

THE SUPER ADMIN COMPUTER LAB (TSACL)
Head office, Buguruni Malapa Area,
P.O BOX 515, Dar-es-salaam, TANZANIA.
Phone: +255 718 475 017/0719 377 179
 


WE PROVE THEORY BY PRACTICE
 




Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.