Breaking News
recent

50 CENT ATAWATUMIA HAWA KURUDI KATIKA UBORA WAKE KWENYE MUZIKI...

UPTOWN
Ilikukamata chati kama alivyofanya miaka kadha nyuma rapa 50 Cent ametangaza ujio wa album yake mpya “Street King Immortal” na kwamba atawashirikisha wasanii Kendrick Lamar, Lil Wayne & Chris Brown “Street King Immortal”
50 Cent amesema ana kazi nyingi ila hana uhakika kama zote zitakuwepo kwenye cd hio. Wasanii wengine ni Kidd Kidd na Ne-Yo.
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.