Breaking News
recent
KWA ULIYESIKIA TAARIFA ZA SAIDA KALORI

.
.
Saida Kalori ameongea na millardayo.com akiwa Mbeya vijijini na kusema amekua akipigiwa simu nyingi sana watu wakitaka kujua kama kafariki kweli, amekua akiambiwa taarifa mbalimbali kuhusu kifo chake… wengine wanasema kapata ajali ya boti iliyozama, wengine kapata ajali ya gari lakini ukweli ni kwamba hakuna lolote lililomtokea, ni mzima wa Afya.
Unknown

Unknown

No comments:

Powered by Blogger.